Random Posts

MAZISHI YA MPOKI BUKUKU MSALATO-DODOMA

  Familia ya Marehemu Mpoki Bukuku, ikiwa imelizunguka Jeneza lenye mwili wake wakati wa ibada maalum ya Mazishi yake iliyofanyika mchana wa leo katika eneo la Makaburi ya familia yao, Msalato Mkoani Dodoma.
  Jeneza lenye Mwili ya Marehemu Mpoki Bukuku likishushwa kaburini wakati wa Mazishi yake yaliyofanyika mchana wa leo  katika eneo la Makaburi ya familia yao, Msalato Mkoani Dodoma.

  Mjane wa Marehemu akiweka shada la maua kwenye kaburi la Mumewe.
Watoto wa Marehemu.
 Maziko ya Mpigapicha Mpoki Bukuku yanatarajibkufanyika leo Kijijini kwao Msalato Dodoma yalipo makazi ya mamavyake nabyalipo makaburi ya Familia likiwepo la Baba yake na kaka yake. Tayari waombolezaji wameshaanza kuwasili na taratibu za mazishi zinaendelea.
Wamama wa Kinyakyusa wakiimba kuzunguka Jeneza la Marehemu Mpoki Bukuku.

Mafundi wakiendelea na ujenzi wa nyumba ya muda ya Mpoki Bukuku.
Waombolezaji wakiwa katika eneo itakapofanyika ibada ya mazishi pamoja na eneo la makaburi.
Mpigapicha Mroki Mroki akisaini kitabu cha maombolezo, Msalato Dodoma.
Mpigapicha John Bukuku nae akisaini  cha maombolezo.
Mpigapicha Emmanuel Herman nae akisaini kitabu.

Mohamed Mambo, Mpigapicha nae akisaini Kitabu cha Maombolezo.

Picha kwa hisani ya Michuziblog

Post a Comment

0 Comments