Random Posts

MIAKA 55 YA UHURU WA TANZANIA

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli (katikati) pamoja na Viongozi mbali mbali wa Kitaifa wakisimama kupokea salama ya heshma ya Vikosi vya Ulinzi na Usalama  kwa Gwaride la mwendo wa haraka katika sherehe za miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara zilizofanyika leo katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam
 Kikosi cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ Makomandoo kikipita katika Jukwaa kubwa la Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam,kwa mwendo wa kurukaruka  katika sherehe za miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara zilizofanyika leo kiwanjani hapo mgeni rasmi akiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli

 Vijana wa Vikosi mbali mbali vya majeshi ya Ulinzi wakiimba kwaya ya wimbo maalum katika sherehe za sherehe za miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara zilizofanyika leo katika uwanja wa Uhuru Jijini Dae es Salaam, mgeni rasmi akiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli alipokuwa akizungumza na Viongozi,Wananchi na wageni mbali mbali katika sherehe za sherehe za miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara zilizofanyika leo katika uwanja wa Uhuru Jijini Dae es Salaam
Kikosi cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ kikipita katika Jukwaa kubwa la Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam katika sherehe za miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara zilizofanyika leo kiowanjani hapo mgeni rasmi akiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli.

[Picha na Ikulu.]09/12/2016.

Post a Comment

0 Comments