Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akisalimiana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu,Sera,BungeKazi,Ajira, Vijana na Wenyeulemavu Jenister Muhagama mara
alipowasili katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam kushiriki
nkatika sherehe za Miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania bara zilizofanyika
leo,mgeni rasmi akiwa Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John
Pombe Magufuli,
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali
Mohamed Shein (kulia) akisalimiana na Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe,Mohamed Chende Othman mara alipowasili katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es
Salaam kushiriki nkatika sherehe za Miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania bara zilizofanyika
leo,mgeni rasmi akiwa Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe
Magufuli
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali
Mohamed Shein akiwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe,Majaliwa
Kassim Majaliwa katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam katika sherehe za
Miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania bara zilizofanyika leo,ambapo mgeni rasmi alikuwa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Dkt.John Pombe Magufuli
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli akiwapungia mkono wananchi wakati
alipoingia katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam kuhudhuria katika sherehe
za Miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania bara zilizofanyika leo akiwa mgeni rasmi
katika sherehe hizo zilizohudhuria na Wnanchi na wageni mbali mbali na Viongozi
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli (katikati) akifuatana na Mkuu wa
Majeshi ya Ulinzi na Usalama Jenerali Devis Mwamunyange baada ya kukagua
gwaride maalum la Vikosi vya Ulinzi na Usalama katika sherehe za Miaka 55 ya Uhuru wa
Tanzania bara zilizofanyika leo katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam.
[Picha
na Ikulu.] 09/12/2016.
0 Comments