Rais wa Jamhuri ya Tanzania Dkt John Pombe
Magufuli akimuapisha Jaji Rehema Kiwanga Mkuye kuwa Jaji wa Mahakama ya
Rufaa Ikulu jijini Dar es salaam leo Desemba 23, 2016,
Rais wa Jamhuri ya Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akiweka sahihi hari
ya kiapo baada ya kumuapisha Jaji Rehema Kiwanga Mkuye kuwa Jaji wa
Mahakama ya Rufaa Ikulu jijini Dar es salaam leo Desemba 23, 2016
Rais
wa Jamhuri ya Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimuapisha jaji
Sivangilwe Sikalalilwa Mwangosi kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufaa Ikulu
jijini Dar es salaam leo Desemba 23, 2016
Rais wa Jamhuri ya Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimuapisha Jaji
Jackobs Mwambegele kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufaa Ikulu jijini Dar es
salaam leo Desemba 23, 2016
Rais wa Jamhuri ya Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimwapongeza baada
ya kuwaapisha kuwa Majaji wa Mahakama ya Rufaa Ikulu jijini Dar es
salaam leo Desemba 23, 2016
Rais
wa Jamhuri ya Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akisalimiana na wageni
waalikwa baada ya kuwaapisha Majaji wa Mahakama ya Rufaa Ikulu jijini
Dar es salaam leo Desemba 23, 2016
Rais
wa Jamhuri ya Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, Waziri Mkuu Kassim
Majaliwa, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mhe Angellah Kairuki, Jaji Mkuu
Mhe Mohamed Chande Othman Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi,
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. George Masaju katika picha ya pamoja
na Majaji wapya wanne wa Mahakama ya Rufaa Ikulu jijini Dar es salaam
leo Desemba 23, 2016
PICHA NA IKULU








0 Comments