RC GAMBO AZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI ARUSHA - MTAZAMO MEDIA

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Monday, 26 December 2016

RC GAMBO AZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI ARUSHA

Mkuu wa mkoa wa Arusha  Mrisho Gambo akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari  kuhusu mwandishi wa kituo cha ITV Halfani Liundi aliyekamatwa hivi karibuni na jeshi la polisi, ambapo pamoja na mambo mengine  alisema kuwa anatambua umuhimu wa vyombo vya habari na hivyo mwandishi anauhuru wa kwenda popote kupata taarifa yeyote kwa kuzingatia misingi ya uandishi wa habari.
 Mkuu wa mkoa wa Arusha  Mrisho Gambo akizungumza na waandishi wa habari wa Mkoa wa Arushaa ofisini kwake juzi  kutoka vyombo mbalimba vya habari kuhusu sakata la kukamatwa kwa mwandishi wa habari wa kituo cha televisheni cha ITV Halfani Liundi ambapo amehaidi kulishughulikia huku akiwataka waandishi kufanya kazi zao kwa kuzingatia maadili ya uandishi wa habari.
 Mwandishi wa habari wa kituo cha channel Ten Aristrides Dotto akichangia katika mkutano huo wa waandishi wa habari na mkuu wa Mkoa juzi ofisinii kwake jijini Arusha.
 Baadhi ya waandishi wa habari wakifatilia mkutano huo
Mwandishi wa gazeti la Mwananchi Mosses Mashalla akichangia katika mkutano huo wa mkuu wa Mkoa na waandishi wa habari mkoa wa Arusha.
(Picha na Pamela Mollel)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages