Home
Contact
Random Posts
Home
HABARI
SIASA
BIASHARA
MICHEZO
BURUDANI
AFYA
ELIMU
UREMBO
Home
JAMII
SAFARI YA MWISHO YA WANAHABARI NA ASKARI WA JESHI LA ULINZI KATIKA KITUO CHA KIBO KABLA YA KUELEKEA KILELE CHA UHURU.
SAFARI YA MWISHO YA WANAHABARI NA ASKARI WA JESHI LA ULINZI KATIKA KITUO CHA KIBO KABLA YA KUELEKEA KILELE CHA UHURU.
Anonymous
December 23, 2016
Baada ya kupuumzika kwa siku mbili katika kituo cha Horombo kwa ajili ya kuzoea hali ya hewa ,safari ya kuelekea kituo cha mwisho cha Kibo ikaanza .
Safari ilivyoendelea hali ya hewa ilibadirika arikadhalika uoto wa misitu mifupi ulianza kutoweka kadri safari ilivyoenedelea.
Safari iliendelea kwa motto wa "Mdogo Mdogo".
Wakati mwingine kulihitajika maneno ya faraja ili kufanikisha safari hii.
Eneo hili ndilo la mwisho katika Mlima Kilimanjaro kuona maji yakitiririka wakati wa safafri ya kupanda Mlima Kilimnjaro.
Kutokana na kubadirika kwa hali ya hewa ,washiriki wengine walivalia vizuia upepo,wenyewe walivipa jina "Shilawadu".
Baadae uoto wa misitu ukatoweka kabisa ,safari ikawa ni ya kupita katika eneo la jangwa likijulikana kama Saddle.
Safari iliendelea ya kufika kituo cha mwisho cha Kibo Hut.
Wenye kuhitaji Msaada ,walipata msaada.
Mapumziko kwa ajili ya kupata Chakula yalifanyika katika eneo la Saddle.
Safari iliendelea ikiambatana na mvua katika eneo la Jiwe la Okoyo.
Hatimaye Safari ya kutoka kituo cha Horombo ikafikia tamati katika kituo cha Kibo Huts.
Washiriki wakapata picha ya pamoja kabla ya kupata mapumziko kujiandaa na sfari ya kuelekea Kileleni itakayofanyika majira ya saa 5 usiku.
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii aliyekuwa katika safari hiyo.
Post a Comment
0 Comments
Social Plugin
Featured Post
HABARI
𝐓𝐈𝐁 𝐘𝐀𝐔𝐍𝐆𝐀 𝐌𝐊𝐎𝐍𝐎 𝐀𝐉𝐄𝐍𝐃𝐀 𝐘𝐀 𝐍𝐈𝐒𝐇𝐀𝐓𝐈 𝐒𝐀𝐅𝐈 𝐊𝐔𝐄𝐋𝐄𝐊𝐄𝐀 𝐃𝐈𝐑𝐀 𝟐𝟎𝟓
Mtazamomedia blog
August 17, 2026
Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akimkabi…
Popular Posts
VICE PRESIDENT SAMIA SULUHU HASSAN OPENS THE SADC DEVELOPMENT FINANCE INSTITUTIONS NETWORK CHIEF EXECUTIVE OFFICERS' FORUM IN DAR
July 06, 2017
𝐊𝐔𝐍𝐃𝐄𝐌𝐁𝐀 𝐅𝐂 𝐌𝐀𝐁𝐈𝐍𝐆𝐖𝐀 𝐏𝐁𝐙 𝐘𝐀𝐌𝐋𝐄 𝐘𝐀𝐌𝐋𝐄 𝐂𝐔𝐏, 𝐌𝐀𝐒𝐀𝐔𝐍𝐈 𝐀𝐖𝐀𝐏𝐀 𝟏𝟎𝐌
August 16, 2026
Dkt. Kigwangalla Ashiriki Mazishi ya Mama Yake Mzazi Hussein Bashe Wilayani Nzega
June 02, 2018
0 Comments