Home
Contact
Random Posts
Home
HABARI
SIASA
BIASHARA
MICHEZO
BURUDANI
AFYA
ELIMU
UREMBO
Home
JAMII
SAFARI YA MWISHO YA WANAHABARI NA ASKARI WA JESHI LA ULINZI KATIKA KITUO CHA KIBO KABLA YA KUELEKEA KILELE CHA UHURU.
SAFARI YA MWISHO YA WANAHABARI NA ASKARI WA JESHI LA ULINZI KATIKA KITUO CHA KIBO KABLA YA KUELEKEA KILELE CHA UHURU.
Anonymous
December 23, 2016
Baada ya kupuumzika kwa siku mbili katika kituo cha Horombo kwa ajili ya kuzoea hali ya hewa ,safari ya kuelekea kituo cha mwisho cha Kibo ikaanza .
Safari ilivyoendelea hali ya hewa ilibadirika arikadhalika uoto wa misitu mifupi ulianza kutoweka kadri safari ilivyoenedelea.
Safari iliendelea kwa motto wa "Mdogo Mdogo".
Wakati mwingine kulihitajika maneno ya faraja ili kufanikisha safari hii.
Eneo hili ndilo la mwisho katika Mlima Kilimanjaro kuona maji yakitiririka wakati wa safafri ya kupanda Mlima Kilimnjaro.
Kutokana na kubadirika kwa hali ya hewa ,washiriki wengine walivalia vizuia upepo,wenyewe walivipa jina "Shilawadu".
Baadae uoto wa misitu ukatoweka kabisa ,safari ikawa ni ya kupita katika eneo la jangwa likijulikana kama Saddle.
Safari iliendelea ya kufika kituo cha mwisho cha Kibo Hut.
Wenye kuhitaji Msaada ,walipata msaada.
Mapumziko kwa ajili ya kupata Chakula yalifanyika katika eneo la Saddle.
Safari iliendelea ikiambatana na mvua katika eneo la Jiwe la Okoyo.
Hatimaye Safari ya kutoka kituo cha Horombo ikafikia tamati katika kituo cha Kibo Huts.
Washiriki wakapata picha ya pamoja kabla ya kupata mapumziko kujiandaa na sfari ya kuelekea Kileleni itakayofanyika majira ya saa 5 usiku.
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii aliyekuwa katika safari hiyo.
Post a Comment
0 Comments
Social Plugin
Featured Post
HABARI
TANESCO MKOA WA ARUSHA KUIMARISHA UTOAJI HUDUMA
Mtazamomedia blog
April 14, 2026
*Ni katika muendelezo wa mkakati wa TANESCO wa kuwahudumia wananchi kwa ufanisi zaidi…
Popular Posts
USAILI WA KIKOSI KAZI CHA 102.5 LAKE FM MWANZA WAENDELEA KUFANYIKA.
June 09, 2016
MKUTANO MKUU WA YOUTH EXCHANGING STUDY (YES) WAFANYIKA ZANZIBAR.
September 25, 2014
Rais Magufuli Azindua Jengo Jipya la Tawi la CRDB Wilayani Chato
March 09, 2018
0 Comments