Random Posts

BAADHI YA WAKAZI WA MWENGE MSHINDO WA MSHITAKI MBUNGE WAO KWA NAIBU WAZIRI DKT. ANGELLINA MABULA

Baadhi ya wakazi wa mwenge mshindo manispaa ya Songea mkoani Ruvuma wamemshitaki Mbunge wao Leonidas Gama kwa Naibu Waziri wa ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dkt. Angellina Mabula kwa kuwazulumu maeneo yao.

Post a Comment

0 Comments