Madaktari
Bingwa wa Moyo wa Taasisi
ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na Madaktari Afrika wa nchini
Marekani wakitoa huduma kwa mgonjwa ya kuzibua mshipa wa moyo uliokuwa umeziba bila ya kupasua kifua (Catheterization). Kulia
ni Dkt. Peter Kisenge, akifuatiwa na Dkt.
Peter O’brien na kushoto ni Afisa Muuguzi Ayoub Mchau.
Daktari Bingwa
wa Moyo kutoka Madaktari Afrika wa nchini Marekani Dkt. Peter O’brien
na Afisa Muuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Ayoub Mchau wakitoa
huduma kwa mgonjwa ya kuzibua mshipa wa moyo uliokuwa umeziba bila ya kupasua kifua (Catheterization).
Madaktari Bingwa
wa Moyo wa Taasisi
ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na Madaktari Afrika wa nchini
Marekani wakiendelea na kazi ya kutoa huduma kwa mgonjwa ya kuzibua mshipa wa moyo
uliokuwa umeziba bila ya kupasua kifua
(Catheterization).
Madaktari Bingwa wa Moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na Madaktari
Afrika wa nchini Marekani wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kumalizi
kutoa huduma kwa mgonjwa ya kuzibua
mshipa wa moyo uliokuwa umeziba bila ya kupasua
kifua (Catheterization).
Picha na Anna Nkinda – JKCI




0 Comments