Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua mahindi wakati alipotembelea
magahala ya Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) , Chang'ombe
jijini Dar es salaam Januari 4, 2017. Kulia kwake ni Kaimu Ofisa
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA),
Deusdedit Mpazi.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Kaimu Ofisa Mtendaji Mkuu
wa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA), Deusdedit Mpazi wakati
alipotembelea maghala ya NFRA, Chang'ombe jijini Dar es salaam Januari
4, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)



0 Comments