Random Posts

“RUSHWA NI CHANZO CHA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJ” DC HOMERA

Mkuu wa Wilaya ya Tunduru Juma Homera amesema watendaji wa Vijiji ambao sio waadilifu kutokana na kupokea rusha kutoka kwa wafugaji kwa lengo la kuwapa makazi katika vijiji , ndiyo chanzo cha migogoro hiyo katika ya wakulima na wafugaji. Kwa undani wa habari hii bonyeza hii video.Habari na RUVUMA TV.

Post a Comment

0 Comments