Mkuu wa Wilaya ya Tunduru Juma Homera amesema watendaji wa Vijiji ambao sio waadilifu kutokana na kupokea rusha kutoka kwa wafugaji kwa lengo la kuwapa makazi katika vijiji , ndiyo chanzo cha migogoro hiyo katika ya wakulima na wafugaji. Kwa undani wa habari hii bonyeza hii video.Habari na RUVUMA TV.
0 Comments