Random Posts

SERIKALI KUPITIA UPYA KANUNI ZA UTANGAZAJI



Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akisalimiana na Mkurugenzi wa uzalishaji vipindi kutoka Kampuni ya Africa Media Group Limited Bw. Hamid Abdulhaman wakati alipofanya ziara katika Kampuni hiyo inayomiliki vituo vya Channel Ten na Magic FM January 20, 2017.


Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akizungumza na Uongozi wa Africa Media Group Limited wakati alipofanya ziara katika Kampuni hiyo inayomiliki vituo vya Channel ten na Magic FM January 20, 2017.


Mkurugenzi wa uzalishaji vipindi kutoka Africa Media Group Limited Bw. Hamid Abdulhaman akielezea changamoto mbalimbali wanazozipata katika uendeshaji wa vituo vilivyo chini ya kampuni hiyo  kwa Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye wakati Waziri huyo alipofanya ziara katika Kampuni hiyo inayomiliki vituo vya Channel ten na Magic FM January 20, 2017.


Mkurugenzi wa Utangazaji kutoka Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania (TCRA) Bw. Fredirick  Ntobi akifafanua masuala mbalimbali kwa uongozi wa Africa Media Group Limited wakati wa ziara ya Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye katika Kampuni hiyo inayomiliki vituo vya Channel ten na Magic FM January 20, 2017 kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Habari MAELEZO Dkt Hassan Abass.

Post a Comment

0 Comments