Random Posts

TIZAMA MAPOKEZI YA WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA JANA MKOANI RUVUMA

Waziri mkuu Kassim Majaliwa jana aliwasili mkoani Ruvuma na kupokelewa na Kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa , wakuu mbali mbali waidara , viongozi wa dini na wakazi wa mkoa huo. Tizama mapokezi yake uwanja wa denge wa mkoa wa ruvuma katika video hii pia tutakuletea taarifa ya mkoa wa ruvuma pamoja na maagizo ya waziri mkuu aliyoyatoa katika kikao kilichofanyika ukumbi wa ikulu ndogo ya songea.

Post a Comment

0 Comments