Random Posts

WAZIRI MKUU AWATAKA WANANCHI WA HALIMASHAURI YA MADABA WILAYA YA SONGEA KULINDA VYANZO VYA MAJI

 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimtwisha ndoo ya majai Bibi Leonara Kibuno ikiwa ni ishara ya uzinduzi  wa mradi huo ambao umejengwa katika kijiji cha Magingi wilaya ya Songea  mradi ambao unauwezo kutoa lita laki mbili na kuhudumia zaidi ya watu elfu tano katika Halimashauri ya madaba Songea.
 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akipata maelezo ya mradi wa maji  kutoka kwa mkurugenzi wa Halimashauri ya  Madaba Bwana Safi Mpenda Waziri Mkuu ameuzindua mradi huo ambao umejengwa katika kijiji cha Magingi wilaya ya Songea  mradi ambao unauwezo kutoa lita laki mbili na kuhudumia zaidi ya watu elfu tano.
Waziri mkuu Kassim Majaliwa akiwahutubia wananchi wa halimashauri ya Madaba.


Picha na Chris Mfinanga

Post a Comment

0 Comments