Kamanda wa Polisi wa Kanda maalumu ya Dar es Salaam, Simon Siro akizungumza
na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam.
..
Ambapo amesma bado wanamshikilia mwenyekiti wa Yanga,
Yusuph Manji pamoja Askofu wa kanisa la Ufunuo na Uzima, Josephat Gwajima kwa
tuhuma za kujihusisha na biashara ya Dawa za kulevya amesema atatoa taarifa
Jumatatu kueleza nini kinaendelea kuhusu watuhumiwa hao.

0 Comments