Random Posts

MKUU WA MKOA AISHUKURU DENMARK KWA KUSAIDIA MIRADI YA KILIMO MKOA WA MBEYA

Akutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Denmark nchini Hon Einar Jensen Balozi wa Denmark airidhishwa na hatua za  serikali kupeleka Umeme vijijini,  ujenzi wa Barabara vijijini , ujenzi wa meli 3 Bandari YA Itungi na uwanja wa kimataifa wa Ndege Singwe  Balozi asema jitihada hizo zitachochea   Ukuaji wa uchumi, uhakika wa wakulima kuyafikia masoko , Nishati YA Umeme itasaidia uongezaji thamani YA Mazao  Kupitia mradi wa Kuwasaidia wakulima kuzalisha mazao YA biashara na uongezaji thamani Mradi wa PASS unafadhiliwa na Denmark umesaidia mikopo nafuu sh Bilioni 15 kwenye miradi 320 kwa Mikoa YA Nyanda za juu kusini
 Mkuu wa Mkoa ameshukuru balozi  kwa kumtembelea na misaada mingi wanayotoa kwa Tanzania Aidha amemhakikishia ushirikiano  na ameeleza mara miradi YA Umeme vijijini, uwanja wa Ndege Songwe, Barabara vijijini na ujenzi wa meli 3 itakapokamilika Mkoa wa Mbeya utapiga hatua kubwa kimaendeleo

Post a Comment

0 Comments