Ni Mgogoro uliodumu kwa miaka 10 na kuzua misuguano YA
viongozi na wananchi.
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Amos Makala akisalimiana na viongozi mbalimbali.
Ametangaza mpaka mpya baada YA Tume aliyoiunda kukamilisha
kazi . Tume ikishirikisha watalaam wa
ardhi, viongozi ,wazee na viongozi wa mila na kutangaza mpaka uliridhiwa na WANANCHI wakubali na kuhaidi
kuheshimu mpaka huo na Mkuu wa Mkoa Atoa siku 7 kuweka mawe YA mipaka
Awaonya viongozi wa Vijiji waliogawa ardhi kinyume cha
TARATIBU na kuwapatia wenye uwezo na kuwaacha wanyonge hawana Ardhi
Pia ameunda kikosi kazi cha watalaam na vyombo vya dola
kuhakiki ugawaji wa Ardhi ktk Vijiji 7 wilayani Mbarali endapo ugawaji wa Ardhi
ulizingatia sheria YA Ardhi mwaka 1999
AHAIDI tume ikibaini ugawaji ardhi hakufuata UTARATIBU
atairejesha ardhi yote KWA WANANCHI



0 Comments