Subscribe Us

header ads

NDANDA FC DHIDI YA MBAO FC NANGWANDA SIJAONA,PRISONS VS KAGERA SOKOINE VPL KESHO

Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) inatarajiwa kuendelea kesho kwa michezo miwili tu.
Michezo ya kesho kwa mujibu wa Ratiba ya VPL ni kati ya Ndanda FC itakayoikaribisha Mbao FC ya Mwanza kwenye Uwanja wa Nangwanda Sijaona mjini Mtwara wa kati Kagera Sugar ya Kagera itakuwa mgeni wa Tanzania Prisons kwenye Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.Mechi nyingine zitachezwa Februari 17, 18 na 19 kwa mujibu wa Ratiba
 ..……………………………………………………
 IMETOLEWA NA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF)

Post a Comment

0 Comments