SERIKALI YAWAPOKEA WATAALAM SITA WA KUJITOLEA KUTOKA JAPANI WALIOKUJA KUTOA HUDUMA NCHINI - MTAZAMO MEDIA

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Wednesday, 15 February 2017

SERIKALI YAWAPOKEA WATAALAM SITA WA KUJITOLEA KUTOKA JAPANI WALIOKUJA KUTOA HUDUMA NCHINI

 Mratibu wa Shirika la Kimataifa la Maendeleo la Japani (JICA) Bw. Owa Ichiro akizungumza na Mkurugenzi wa Idara ya Uendelezaji Rasilimaliwatu, Bi. Roxana Kijazi wa Ofisi ya Rais-Utumishi (hayupo pichani) wakati wa hafla fupi ya kuwakaribisha Wataalam wa kujitolea kutoka Japani waliokuja kutoa huduma nchini, iliyofanyika katika Ukumbi mdogo wa Ofisi ya Rais-Utumishi leo.
 Mkurugenzi wa Idara ya Uendelezaji Rasilimaliwatu wa Ofisi ya Rais-Utumishi, Bi. Roxana Kijazi akizungumza na Wataalam wa kujitolea kutoka Japani waliokuja kutoa huduma nchini wakati wa hafla fupi ya kuwakaribisha Wataalam hao iliyofanyika katika Ukumbi mdogo wa Ofisi ya Rais-Utumishi leo.
 Mkurugenzi wa Idara ya Uendelezaji Rasilimaliwatu wa Ofisi ya Rais-Utumishi, Bi. Roxana Kijazi akipokea kalenda ya JICA ya mwaka 2017 toka kwa Mratibu wa Shirika la Kimataifa la Maendeleo la Japani (JICA) Bw. Owa Ichiro wakati wa hafla fupi ya kuwakaribisha Wataalam wa kujitolea kutoka Japani waliokuja kutoa huduma nchini, iliyofanyika katika Ukumbi mdogo wa Ofisi ya Rais-Utumishi leo.
 Mkurugenzi wa Idara ya Uendelezaji Rasilimaliwatu wa Ofisi ya Rais-Utumishi, Bi. Roxana Kijazi akipewa maelezo kuhusu kalenda ya JICA ya mwaka 2017 toka kwa Mratibu wa Shirika la Kimataifa la Maendeleo la Japani (JICA) Bw. Owa Ichiro wakati wa hafla fupi ya kuwakaribisha Wataalam wa kujitolea kutoka Japani waliokuja kutoa huduma nchini, iliyofanyika katika Ukumbi mdogo wa Ofisi ya Rais-Utumishi leo.
Mkurugenzi wa Idara ya Uendelezaji wa Rasilimaliwatu wa Ofisi ya Rais-Utumishi, Bi. Roxana Kijazi akiwa katika picha ya pamoja  na Wataalam wa kujitolea kutoka Japani waliokuja kutoa huduma nchini  mara baada ya hafla fupi ya kuwakaribisha Wataalam hao, iliyofanyika katika Ukumbi mdogo wa Ofisi ya Rais-Utumishi leo.  

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages