Random Posts

TUMIENI UHUSIANO MZURI WA TANZANIA NA MALAWI KUFANYA BIASHARA- RC MAKALLA

Afanya  ziara Wilayani KYELA na mkutano wa hadhara  kata YA NGANA kwa kuongea na wananchi  wa Vijiji na kata zilizopo mpakani MWA Tanzania na Malawi .
 Awaonya wanaosaidia kuvusha wahamiaji haramu na magendo kupitia Njia za Panya na kuwataka wananchi  KUFANYA BIASHARA za mipakani kwa kuzingatia sheria na taratibu zilizowekwa.
Amesema serikali zote mbili zimeweka MIKAKATI YA kuwasaidia wananchi wa nchi mbili KUFANYA biashara vizuri
 SERIKALI inakamilisha taratibu za kuanza ujenzi wa kituo cha pamoja cha Forodha( One stop boader post) KASUMULU ili kuondoa urasimu na kuongeza biashara
 Mkoa wa Mbeya unaandaa tamasha kubwa kwa ajili ya wafanyabiashara wa Tanzania na Malawi litakalofanyika 30 JUNI, 2017.
 Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Amos Makala akizungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara. 

Post a Comment

0 Comments