Msanii Wema Sepetu akishuka kwenye gari wakati alipofikishwa
katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo kusomewa mashtaka
yanayomkabili akituhumiwa kujihusishwa na biashara ya dawa za kulevya
Mwanasheria wa Chama cha Chadema Mh. Tundu Lisu na Wema Sepeti
wakishuka kwenye wakati alipofikishwa kwenye mahakama ya Kisutu leo.
Tundu Lisu anatuhumiwa kutoa lugha za uchochezi


0 Comments