Kivuko cha MV KAZI kikisubiri kushushwa kwa mara ya kwanza
majini kufanyiwa ukaguzi wa mwisho, kivuko hicho kitakua kikitoa huduma zake
kati ya Magogoni na Kigamboni na kitakua na uwezo wa kubeba abiria 800 na
magari 22.
Kivuko cha MV KAZI mara baada ya kushushwa majini kwa mara
ya kwanza tayari kwa kufanyiwa ukaguzi wa mwisho kabla ya kuanza kazi, kivuko
hicho kitatoa huduma zake kati ya Magogoni na Kigamboni na kitakua na uwezo wa
kubeba abiria 800 na magari 22.



0 Comments