Waziri
wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala
Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) akijibu hoja za wajumbe
wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa mara baada
ya kuwasilisha taarifa ya Utekelezaji wa Mpango na Bajeti ya Mwaka wa
Fedha 2016/17 na Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka wa Fedha wa
2017/18 katika kikao kilichofanyika Ukumbi
wa Utawala wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM).
Mjumbe
wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa, Mhe.
Saada Mkuya (Mb) akichangia hoja mara baada
ya Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) kuwasilisha taarifa ya Utekelezaji wa
Mpango na Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2016/17 na Makadirio ya Mapato na
Matumizi kwa Mwaka wa Fedha wa 2017/18 ya Ofisi ya Rais-Utumishi na
Utawala Bora
kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa
katika kikao kilichofanyika Ukumbi wa Utawala wa Chuo Kikuu cha Dodoma
(UDOM).



0 Comments