Random Posts

MSANII WA FILAMU KUTOKA NCHINI NIGERIA, MEKE EZURONYE AWASILI JIJINI DAR ES SALAAM

1 2
Msanii wa Filamu kutoka nchini Nigeria, Meke Ezuronye akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kuhusiana na ujio wake hapa nchini.
3
Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Mhe Nape Nnauye akifafanua kuhusina na ujio wa Msanii huyo (kushoto) Msanii wa Filamu kutoka nchini Nigeria, Meke Ezuronye.
4
Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Mhe Nape Nnauye (katikati) akimsindikiza Msanii wa Filamu kutoka nchini Nigeria, Meke Ezuronye (kulia) mara baada ya kungumza na waandishi wa habari.

Post a Comment

0 Comments