Random Posts

UZINDUZI WA MICHUANO YA MPIRA WA MIGUU YA MAJIMBO YA CCM





 Rais wa Zanzibar na Mwnyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohanmed Shein alipokuwa akitoa hutuba yake ya Uzinduzi wa Mashindano ya michuano ya Majimbo ya CCM Mpira wa Miguu katika uwanja wa Amaan
 Baadhi ya wanakamati ya maandalizi ya michuano ya Majimbo ya CCM Mpira wa Miguu katika uwanja wa Amaan uliofanyika leo wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwnyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohanmed Shein alipokuwa akitoa hutuba yake ya Uzinduzi wa michuano hiyo
  Vijana wa CCM Aisi Kuu Kisiwandui wakipita kwa  maandamano wakati wa  Uzinduzi wa Mashindano ya michuano ya Majimbo ya CCM Mpira wa Miguu katika uwanja wa Amaan leo mgeni rasmi akiwa Rais wa Zanzibar na Mwnyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohanmed Shein,
 Vijana wa CCM Jimbo la Jang'ombe wakipita kwa  maandamano wakati wa  Uzinduzi wa Mashindano ya michuano ya Majimbo ya CCM Mpira wa Miguu katika uwanja wa Amaan leo mgeni rasmi akiwa Rais wa Zanzibar na Mwnyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohanmed Shein
Vijana wa CCM Family wakipita kwa  maandamano wakati wa  Uzinduzi wa Mashindano ya michuano ya Majimbo ya CCM Mpira wa Miguu katika uwanja wa Amaan leo mgeni rasmi akiwa Rais wa Zanzibar na Mwnyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohanmed Shein,
[Picha na Ikulu.] 

Post a Comment

0 Comments