Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akishiriki ibada ya kuuombea mwili wa
marehemu Bibi. Nuru Halfan Kikwete ambaye ni mama mdogo wa Rais Mstaafu wa
Awamu ya Nne mheshimiwa Dk. Jakaya Kikwete nyumbani kwa marehemu Bagamoyo
mkoani Pwani leo Machi 8, 2017. Kulia ni Rais Mstaamu Dk. Kikwete.
(Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu)

0 Comments