Wakieleza mbele ya mkuu wa wilaya ya Ilala Sophia Mjema ndugu wa marehemu wamemtambua Maehemu kuwa ni Rashidi aliye kuwa mchimba ni kokoto katika eneo hilo la kigogo Fresh Golan .
Zoezi bado linaendelea kutafuta mwili wa mtu mmoja.
HABARI
*Ni katika muendelezo wa mkakati wa TANESCO wa kuwahudumia wananchi kwa ufanisi zaidi…
Copyright (c) 2018 mtazamomedia All Right Reseved
0 Comments