Random Posts

KATIBU MKUU WIZARA YA MAJI ATEMBELEA TENKI LA MAJI KIBAMBA JIJINI DAR ES SALAAM

 Katibu Mkuu Wizara ya Maji na Umwagiliaji Prof. Kitilia Mkumbo akiwa pamoja na Afisa Mtendaji mkuu wa Dawasco Mhandisi Cyprian Luhemeja na menejimenti ya Dawasa alipotembelea Tenki la kubwa la  Maji lilipo Kibamba , jijini Dar es salaam.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji Prof. Kitilia Mkumbo akipata maelezo kutoka kwa mkandarasi alipotembelea mtambo wa kuzalisha Maji wa Ruvu Juu.

Post a Comment

0 Comments