Random Posts

SKIMU 7 ZA UMWAGILIAJI WILAYANI MBARALI ZATOZWA FAINI KWAKUTO ZINGATIA SHERIA YA MAZINGIRA

Mkurugenzi wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais  Richard Muyungi, akiongea kwa niaba ya wajumbe wa Kikosi kazi cha kitaifa cha kutathmini  Ikolojia ya Mto Ruaha Wilayani Mbarali Mkoani Mbeya.

Kikosi kazi cha kitaifa cha kutathmini  Ikolojia ya Mto Ruaha kikiwa katika moja ya skimu za umwagiliaji Wilayani Mbarali Mkoani Mbeya.

Post a Comment

0 Comments