Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai
akiaga mwili wa marehemu Mhe. Elly Macha aliefariki Mwezi uliopita katika
Hospitali ya New Cross, Wolverhampton, nchini Uingereza na mwili umeagwa leo katika Viwanja vya Bunge Mjini Dodoma.
Spika wa
Bunge, Mhe. Job Ndugai (Kulia), Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa (wa pili
kulia) wakishuhudia mwili wa Marehemu Mhe. Elly Macha ukiwasili, Marehemu aliefariki
Mwezi uliopita katika Hospitali ya New Cross, Wolverhampton, nchini Uingereza baada ya mwili kuwasili leo katika Viwanja vya Bunge Mjini Dodoma.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai
akizungumza wakati wa mazishi ya Mhe.
Elly Macha aliefariki Mwezi uliopita katika Hospitali ya New Cross,
Wolverhampton nchini Uingereza na mwili wake umeagwa leo katika Viwanja vya Bunge Mjini Dodoma.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai
akisalimiana na Waziri Mkuu Mhe, Kassim Majaliwa wakati wa mazishi ya Mhe. Elly Macha
aliefariki Mwezi uliopita katika Hospitali ya New Cross, Wolverhampton nchini
Uingereza na mwili wake umeagwa leo katika Viwanja vya Bunge Mjini Dodoma.
Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt.
Tulia Ackson akiaga mwili wa marehemu Mhe. Elly Macha aliefariki Mwezi uliopita
katika Hospitali ya New Cross,Wolverhampton nchini Uingereza na mwili wake umeagwa leo katika
Viwanja vya Bunge Mjini Dodoma.
(PICHA
NA OFISI YA BUNGE)




0 Comments