Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la
Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Mhandisi Kapuulya Musomba akizungumza na waandishi wa habari kuhusu
uunganishwaji na usambazaji wa gesi asilia leo Jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Mkurugenzi
wa Uhusinano na Mipango wa TPDC, Nathan Mnyawami.
Baadhi ya waaandishi
wa habari wakifuatilia mkutano baina yao na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TPDC Mhandisi
Kapuulya Musomba (hayupo pichani) uliofanyika Ofisini kwake leo Jijini Dar es
Salaam.
Picha zote na: Frank
Shija – MAELEZO.



0 Comments