Mwenyekiti wa Ujenzi
Sports Club Bw. Albert Maselle (Kushoto) akitoa maelezo kwa viongozi na wajumbe
wateule wakati wa kikao cha kujadili namna ya kujiimarisha zaidi kimichezo.
Katibu wa Ujenzi
Sports Club Bw. Shukuru Sikunjema (Katikati) akifafanua jambo kwa viongozi na
wajumbe wateule wakati wa kikao cha kujadili namna ya kujiimarisha zaidi
kimichezo.
Katibu wa Ujenzi
Sports Club Bw. Shukuru Sikunjema (Kushoto) akisoma taarifa ya muongozo wa
kujiimarisha kimichezo kwa viongozi na
wajumbe wateule wakati wa kikao cha kujadili namna ya kujiimarisha zaidi
kimichezo.
Mjumbe wa Ujenzi
Sports Club Bw. Hamza Mohamedi akitoa mchango wake wa namna ya kujiimarisha
kimichezo wakati wa kikao cha pamoja.
Viongozi na Wajumbe wa
Ujenzi Sprts Club wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kumaliza kikao
cha kujadili namna ya kujiimarisha zaidi kimichezo. Ujenzi Sports Club ipo chini
ya Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi).
Picha
na Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano.





0 Comments