JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI
TAARIFA
KWA UMMA
UTEUZI
WA WAJUMBE WA BODI YA WAKURUGENZI
WA
SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA (NHC)
Kufuatia uteuzi wa Bibi Blandina S.J. Nyoni
kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) tarehe
25/02/2017. Mhe. William V. Lukuvi,
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, kwa mamlaka aliyopewa chini ya
Kifungu cha 5(2) cha Sheria Na. 2 ya Mwaka 1990, amewateua Wajumbe 7 wa Bodi ya
Shirika la Nyumba la Taifa.
Aidha, uteuzi huu ni wa kipindi cha miaka
mitatu (3), kuanzia tarehe 23 Machi, 2017.
Majina ya wajumbe hao ni kama ifuatavyo:
1. Prof. John M. Lupala
2. Bwn. Gabriel Malata
3. Bi. Mary Mlay
4. Bi. Subira Mchumo
5. Bwn. Ally Hussein Laay
6. Bwn. Pius Maneno
7. Bwn. Kesogukwele Masudi Issa Miraji
Msita
Imetolewa
na:
Wizara
ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi

0 Comments