Msururu wa magari uliosababishwa na ajali ya lori
lililopinduka kwenye daraja la mto Songwe katika barabara Mbeya-
Tunduma Julai 24, 2017. Lori hilo lilikuwa limebeba vinywaji baridi.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akipenya ili kuvuka katika daraja
la mto Songwe kwenye mpaka wa mikoa ya Mbeya na Songwa baada ya Lori
lililokuwa limebeba vinywaji baridi kupinduka katika daraja hilo na
kuziba barabara. Ajali hiyo ilisababisha msururu mrefu wa magari
yaliyokuwa yakitoka Tunduma na yale yaliyokuwa yakitoka Mbeya Julai 24,
2017.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Msururu wa magari uliosababishwa na ajali ya lori
lililopinduka kwenye daraja la mto Songwe katika barabara Mbeya-
Tunduma Julai 24, 2017. Lori hilo lilikuwa limebeba vinywaji baridi.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)



0 Comments