Viongozi wa wanawake wa Vyama vya wafanyakazi nchini (TUICO) na viongozi wanawake wa vyama vya wafanyakazi kutoka nchini Zambia, wakimsikiliza kwa makini mfanyakazi wa TBL Group Khery… wakati alipokuwa akitoa maelezo njisi ya kuweza kufuata utaratibu wa kutembelea katika kiwanda cha bia cha Ilala jijni Dar es Salaam, wakati walipofanya ziara ya wanawake kubadilishana uzoefu kwa viongozi wanawake wa vyama vya wafanyakazi kati ya Tanzania na Zambia .
Mtaalam wa upishi wa bia wa TBL Group ,(Process Cost) Roseana Modest(kushoto)akiwaonyesha moja ya magunia ya sukari ianayotumika katika kutengenezea bia wakati wa Viongozi wa wanawake wa Vyama vya wafanyakazi nchini (TUICO) na badhi ya viongozi wanawake wa vyama vya wafanyakazi kutoka nchini Zambia, walipotembelea katika kiwanda cha bia cha Ilala jijini Dar es Salaam, ziara hiyo iliratibiwa na Idara ya Vyama vya wafanyakazi wanawake Tanzania (TUICO) kwa ajili ya kubadilishana uzoefu kati ya vyama vya wafanyakazi wanawake wa Tanzania na Zambia.
Baadhi ya Viongozi wa wanawake wa Vyama vya wafanyakazi nchini (TUICO) na badhi ya viongozi wanawake wa vyama vya wafanyakazi kutoka nchini Zambia, wakimsikiliza kwa makini mtaalam wa upishi wa bia wa TBL Group (Process Cost) Roseana Modest, wakati walipofanya ziara ya wanawake kubadilishana uzoefu kwa viongozi wanawake wa vyama vya wafanyakazi kati ya Tanzania na Zambia katika kampuni hiyo Ilala jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya Viongozi wa wanawake wa Vyama vya wafanyakazi nchini (TUICO) na viongozi wanawake wa vyama vya wafanyakazi kutoka nchini Zambia, wakimsikiliza kwa makini mtaalam wa upishi wa bia wa TBL Group (Process Cost) Roseana Modest,(kushoto) wakati walipofanya ziara ya wanawake kubadilishana uzoefu kwa viongozi wanawake wa vyama vya wafanyakazi kati ya Tanzania na Zambia katika kampuni hiyo Ilala jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya Viongozi wa wanawake wa Vyama vya wafanyakazi nchini (TUICO) na viongozi wanawake wa vyama vya wafanyakazi kutoka nchini Zambia, wakiwa katika picha ya pamoja wakati walipofanya ziara katika kiwanda cha TBL Group kilichopo Ilala jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya wanawake kubadilishana uzoefu kwa viongozi wanawake wa vyama vya wafanyakazi kati ya Tanzania na Zambia katika kampuni hiyo Ilala jijini Dar es Salaam.
Mtaalam wa Ubora wa TBL Group (Quality Technician ) Jane Mwambuma (kushoto) akiwapa maelezo Viongozi wa wanawake wa Vyama vya wafanyakazi nchini (TUICO) na viongozi wanawake wa vyama vya wafanyakazi kutoka nchini Zambia wakati walipofika kwenye chumba cha maabara cha TBL Group. wakati walipofanya ziara ya wanawake katika kiwanda hicho kwa ajili ya kubadilishana uzoefu kwa viongozi wanawake wa vyama vya wafanyakazi kati ya Tanzania na Zambia katika kampuni hiyo Ilala jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya Viongozi wa wanawake wa Vyama vya wafanyakazi nchini (TUICO) na viongozi wanawake wa vyama vya wafanyakazi kutoka nchini Zambia , wakiangalia njisi bia zianavyozalishwa . wakati walipofanya ziara ya wanawake katika kiwanda hicho kwa ajili ya kubadilishana uzoefu kwa viongozi wanawake wa vyama vya wafanyakazi kati ya Tanzania na Zambia katika kampuni hiyo Ilala jijini Dar es Salaam.
Meneja Uhusiana na mawasiliano wa TBL Group Zena Tenga (kulia) akifafanua jambo kwa Viongozi wanawake wa Vyama vya wafanyakazi nchini (TUICO) na viongozi wanawake wa vyama vya wafanyakazi kutoka nchini Zambia. Wakati walipofanya ziara katika kiwanda hicho kwa ajili ya kubadilishana uzoefu kwa viongozi wanawake wa vyama vya wafanyakazi kati ya Tanzania na Zambia katika kampuni hiyo Ilala jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Idara ya Wanawake TUICO makao makuu Margaret Ndagile (Kushoto) akitaoa shukrani za dahati kwa uongozi wa TBL Group ,(haupo pichani) kwa kukubali ombi lao la Viongozi wa wanawake wa Vyama vya wafanyakazi nchini (TUICO) na viongozi wanawake wa vyama vya wafanyakazi kutoka nchini Zambia kufanya ziara ya wanawake katika kiwanda hicho jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kubadilishana uzoefu kwa viongozi wanawake wa vyama vya wafanyakazi kati ya Tanzania na Zambia.
Baadhi ya viongozi wanawake wafanyakazi wa TBL Group , Viongozi wa wanawake wa Vyama vya wafanyakazi nchini (TUICO) na viongozi wanawake wa vyama vya wafanyakazi kutoka nchini Zambia wakiwa katika picha ya pamaja mara baada ya ziara ya kubadilishana uzoefu kwa viongozi wanawake wa vyama vya wafanyakazi kati ya Tanzania na Zambia
Picha ya Pamoja.




0 Comments