| Baadhi ya madiwani wa Baraza hilo,wakifuatilia taarifa ya mwanasheria wa halmashauri juu ya madai ambayo wanahudai mgodi wa dhahabu wa Geita(GGM) |
| Mwenyekiti wa Halmashauri Hiyo,Leornad Kiganga Bugomola,akielezea msimamo wa baraza la madiwani wa Halmashauri hiyo juu ya madai ya mgodi. |
| Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Geita,Mhandisi Modest Aporinaly akijibu baadhi ya maswali. |
| Mbunge wa Jimbo la Geita Mjini.Constatine Kanyasu akichangia ajenda ya swala la malipo ya mgodi kwa halmashauri hiyo. |
0 Comments