Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe.
Dkt. Harrison Mwakyembe (kushoto) akizungumza na Mwakilishi Mkazi wa UNESCO
nchini Tanzania Bibi. Zulmira Rodrigues wakati wa kikao na watendaji wa Wizara
pamoja na UNESCO kujadili mashirikiano yaliyopo katika kuhifadhi historia ya
nchi leo Jijini Dar es Salaam
Mwakilishi Mkazi wa UNESCO nchini Tanzania Bibi.
Zulmira Rodrigues (wapili kushoto) akizungumza wakati wa kikao na Waziri wa
Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kushoto) pamoja
na watendaji wa Wizara kujadili mashirikiano yaliyopo katika kuhifadhi historia
ya nchi leo Jijini Dar es Salaam
Mkurugenzi Msaidizi Tathmini na Ufuatiliaji
kutoka Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Bw. Benard Lubogo (katikati)
akichangia mada wakati wa kikao na watendaji kutoka UNESCO kujadili
mashirikiano yaliyopo katika kuhifadhi historia ya nchi leo Jijini Dar es
Salaam. Kulia ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC)
Bibi. Martha Swai
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe.
Dkt. Harrison Mwakyembe (kushoto) akipokea moja ya kitabu chenye kumbukumbu ya
historia ya Afrika ikiwemo Tanzania kutoka kwa Mwakilishi Mkazi wa UNESCO
nchini Tanzania Bibi. Zulmira Rodrigues wakati wa kikao na watendaji wa Wizara
pamoja na UNESCO kujadili mashirikiano yaliyopo katika kuhifadhi historia ya
nchi leo Jijini Dar es Salaam
Waziri wa Habari
Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (katikati waliokaa)
katika picha ya pamoja na watendaji wa Wizara yake na watendaji kutoka UNESCO baada
ya kikao na watendaji hao kujadili mashirikiano yaliyopo katika kuhifadhi
historia ya nchi leo Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mwakilishi Mkazi wa UNESCO
nchini Tanzania Bibi. Zulmira Rodrigues na kushoto ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu
Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) Bibi. Martha Swai
Picha
na:
Genofeva Matemu -WHUSM





0 Comments