Random Posts

Wizara ya Maliasili na Utalii inawakaribisha Wananchi kutembelea Banda lake katika Maonesho ya Nane Nane Mkoani Lindi

 Baadhi ya wanafunzi wakiwa wanaonja  asali ili  kuwawezesha kutambua asali   bora mara baada ya kutembelea banda la Wizara ya Maliasili  na Utalii katika maonesho  ya Siku ya Wakulima yanayofanyika  kwenye viwanja Ngongo  mkoani Lindi
  Afisa Misitu, Kekilia  Kabalimu  akitoa  maelezo kwa wananchi   waliotembelea Banda la Wizara ya Maliasili na Utalii kwenye maonesho ya Siku ya Wakulima yanayofanyika katika viwanja vya Ngongo mkoani Lindi. 
  Meneja wa Mawasiliano wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) Glory Mziray  akisisitiza jambo kwa   wananchi   waliotembelea Banda la Wizara ya Maliasili na Utalii kwenye maonesho ya Siku ya Wakulima yanayofanyika katika viwanja vya Ngongo mkoani Lindi
 Baadhi ya wanachi  wakipewa maelezo  katika bustani ya miti mara  waliotembelea Banda la Wizara ya Maliasili na Utalii kwenye maonesho ya Siku ya Wakulima yanayofanyika katika viwanja vya  Ngongo mkoani Lindi
 Meneja wa Mawasiliano wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) Glory Mziray  akisisitiza jambo kwa   wananchi   waliotembelea Banda la Wizara ya Maliasili na Utalii kwenye maonesho ya Siku ya Wakulima yanayofanyika katika viwanja vya Ngongo mkoani Lindi
  Baadhi ya wanachi  wakipewa maelezo  ya utaratibu wa kusafirisha vinyago kwenda nchi za nje waliotembelea Banda la Wizara ya Maliasili na Utalii kwenye maonesho ya Siku ya Wakulima yanayofanyika katika viwanja vya Ngongo  mkoani Lindi 

Post a Comment

0 Comments