Waziri Mkuu Majaliwa ampa pole Sheikh Mkuu wa Tanzania kwa kufiwa na kaka yake - MTAZAMO MEDIA

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Tuesday, 19 September 2017

Waziri Mkuu Majaliwa ampa pole Sheikh Mkuu wa Tanzania kwa kufiwa na kaka yake

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimsalimiana  Sheikh Mkuu wa Tanzania, Mufti Abubacary bin Zubeiry Ally wakati alipokwenda nyumbani kwake Mtaa wa Ufipa Kinondoni jijini Dar es salaam Septemba 19, 2017 kumpa pole kufuatia kifo cha kaka yake Saad Zubeiry Ally kilichotokea kwee hospitaal ya taifa ya Muhimbili Septemba 18, 2017. 
 Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akizungumza na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Mufti Abubacary Zubeiry bin Ally wakati alipokwenda nyumbani kwake Mtaa wa Ufipa Kinondoni jijini Dar es salaam Septemba 19, 2017 kumpa pole kufuatia kifo cha kaka yake Saad Zubeiry Ally kilichotokea kwee hospitaal ya taifa ya Muhimbili Septemba 18, 2017.
Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akizungumz na Sheikh Mkuu wa Tanzani, Mufti Abubacary Zubeiry bin Ally wakati alipokwenda nyumbani kwake Mtaa wa Ufipa Kinondoni jijini Dar es salaam Septemba 19, 2017 kumpa pole kufuatia kifo cha kaka yake Saad Zubeiry Ally kilichotokea kwenye hospitali ya taifa ya Muhimbili Septemba 18, 2017. Kushoto ni Kadhi Mkuu wa Tanzania , Sheikh Abadallah Mnyasi.

 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages