Kaimu Mkurugenzi Huduma za uongozaji ndege wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA).John Chambo, akiwaonyesha waandishi wa habari jijini Dar es Salaam,jinsi ya kupata huduma uongozaji ndege kwa njia ya simu ya kiganjani wakati walipofanya ziara ya kujionea utekelezaji wa miradi mbalimbali ya usafiri anga iliyotekelezwa na inayotekelezwa katika kipindi cha serikali ya awamu ya Tano katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA.
Waandishi
wa habari kutoka vyombo mbalimbali nchini, wakimsikiliza kwa makini, Kaimu
meneja wa kituo cha JNIA, Mwanajumaa Kombo ,wakati walipofanya ziara ya
kujionea utekelezaji wa miradi mbalimbali
ya usafiri anga iliyotekelezwa na inayotekelezwa katika kipindi cha
serikali ya awamu ya Tano katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere
(JNIA)
Waandishi
wa habari kutoka vyombo mbalimbali nchini, wakimsikiliza kwa makini mkuu wa
mitambo wa JNIA ,Deodore Mushi alipokuwa akiwaeleza jambo kuhusiana na mitambo ya mawasiliano ya usafiri
wa Anga ,wakati walipofanya ziara ya kujionea utekelezaji wa miradi
mbalimbali ya usafiri anga
iliyotekelezwa na inayotekelezwa katika kipindi cha serikali ya awamu ya Tano
katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA)
Kaimu
Mkurugenzi Huduma za uongozaji ndege wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga
Tanzania(TCAA).John Chambo (katikati) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, juu ya rada ya
kuongozea ndege wakati walipofanya ziara
ya kujionea utekelezaji wa miradi mbalimbali
ya usafiri anga iliyotekelezwa na inayotekelezwa katika kipindi cha
serikali ya awamu ya Tano katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere
(JNIA) .
0 Kaimu Mkurugenzi Huduma za uongozaji ndege wa
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA).John Chambo, akiongea na waandishi wa
habari ( hawapo pichani) jijini Dar es Salaam, wakati walipofanya ziara ya
kujionea utekelezaji wa miradi mbalimbali
ya usafiri anga iliyotekelezwa na inayotekelezwa katika kipindi cha
serikali ya awamu ya Tano katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere
(JNIA) Kutoka kushoto ni Mkuu wa mitambo wa JNIA ,Deodore Mushi na Kaimu meneja
wa kituo cha JNIA ,Mwanajumaa Kombo.






0 Comments