Katibu wa sekretarieti ya ajira katika utumishi
wa umma Bw. Xavier Daudi akitoa maelezo kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimentiya
utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki jinsi ya ufanyaji kazi wa
menejimenti hiyo katika uzinduzi wa Bodi mpya uliofanyika leo katika Maktaba Kuu ya Taifa Jijini Dar es Salaam
kutoka kulia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimentiya Utumishi wa Umma na Utawala
Bora Mhe. Angella Kairuki na pili kulia ni Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti
ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
Dkt.Laurent Ndumbaro
Waziri wa Nchi ofisi ya Rais Menejimentiya Utumishi
wa Umma na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki akihutubia katika hafla fupi ya
uzinduzi wa Bodi Sekritarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma pamoja na Mkataba
wa Huduma kwa Mteja wa ofisi hiyo uliofanyika Maktaba Kuu ya Taifa leo Jijini
Dar es Salaam kulia ni Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Dkt.Laurent Ndumbaro.
Mwenyekti
wa Bodi mpya ya Sekritarieti ya Ajira katika utumishi wa umma Bi.Rose Lugembe
katika uzinduzi wa tatu wa bodi pamoja na mkataba wa huduma kwa mteja
uliofanyika katika ukumbi wa ofisi hiyo Maktaba Kuu ya Taifa leo Jijini Dar es
Salaam kulia ni moja ya wajumbe wa bodi hiyo Bw.Mbaraka Abdul Wakill.
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi
wa Umma na Utawala Bora Dkt.Laurent
Ndumbaro akitoa salama na kumkaribisha mgeni rasmi katika hafla ya uzinduzi wa Bodi
Sekritarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma pamoja na Mkataba wa Huduma kwa Mteja
wa ofisi hiyo uliofanyika Maktaba Kuu ya Taifa leo Jijini Dar es Salaam kutoa
kushoto ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimentiya Utumishi wa Umma na Utawala
Bora Mhe. Angella Kairuki na pili kushoto ni Katibu wa Sekretarieti ya Ajira
katika Utumishi wa Umma Bw. Xavier Daudi.
(Picha na Paschal Dotto-MAELEZO)




0 Comments