Random Posts

Askofu Mkuu Charles Gadi wa Good News for All Nchini Tanzania Atembelea Nchini Canada

Balozi wa Tanzania Canada . Jack Mugendi Zoka 
Afisa tawala  wa Ubalozi na msaidizi wa balozi Mhe.Bilauli
Askofu Mkuu Charles Gadi  wa Good News for All Nchini Tanzania
ametembelea nchini Canada  na kuendelea kuiombea nchi yetu amani na utulivu na kuiombea uchumi  wa viwanda. 
Chini ni picha za tukio hilo. ⇓⇓

Post a Comment

0 Comments