Mtangazaji wa BBC
idhaa ya Kiswahili Leonard Mubali (kushoto)na Ofisa Uhusiano wa Mamlaka ya
Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Ally Changwila,wakipongezana baada ya
kutunukiwa Stashahada ya Uzamili katika
Usimamizi wa masuala ya Uhusiano wa Kimataifa wakati wa mahali ya 20 ya Chuo cha
Diplomasia, Kurasini jijini Dar es Saalam.
Kutoka kushoto Mtangazaji wa BBC idhaa ya Kiswahili Leonard Mubali ,Meneja
Msaidizi wa Uendeshaji wa kampuni ya Kimataifa ya Huduma za Makontena (TICTS)
Goodluck Ng’ingo pamoja na Ofisa
Uhusiano wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Ally
Changwila,wakimsikiliza Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ,Wizara ya Ujenzi,
Uchukuzi na Mawasiliano Bi Segolena
Francis baada ya kutunukiwa Stashahada ya Uzamili katika Usimamizi wa masuala ya
Uhusiano wa Kimataifa wakati wa mahali ya 20 ya Chuo cha Diplomasia, Kurasini
jijini Dar es Saalam.
0 Comments