Waziri wa
Nchi, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Kapteni
(mstaafu) Mhe. George Mkuchika (Mb) akiwa katika kikao na Balozi wa Japani
nchini, Mhe. Masaharu Yoshida (wa kwanza kulia) kilichofanyika Februari 21, 2018 ofisini
kwake jijini Dar es Salaam.
Waziri wa
Nchi, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Kapteni
(mstaafu) Mhe. George Mkuchika (Mb) akimsikiliza Balozi wa Japani nchini, Mhe.
Masaharu Yoshida (hayupo pichani) wakati wa kikao na Balozi huyo ofisini kwake Februari 21, 2018 jijini Dar es Salaam.
Balozi wa Japani, nchini Tanzania, Mhe.
Masaharu Yoshida akimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya
Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapteni (mstaafu) Mhe. George Mkuchika (Mb)
hayupo pichani wakati wa kikao ofisini
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Kapteni (mstaafu) Mhe. George Mkuchika (Mb) akifafanua jambo kwa Balozi wa Japani nchini, Mhe. Masaharu Yoshida (hayupo pichani) wakati wa kikao na Balozi huyo
Balozi wa Japani, nchini Tanzania, Mhe. Masaharu Yoshida akielezea jambo
kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala
Bora, Kapteni (mstaafu) Mhe. George Mkuchika (Mb) hayupo pichani wakati wa
kikao hicho.





0 Comments