Naibu Spika wa Bunge,
Mheshimiwa Dkt. Tulia Ackson akizungumza wakati wa kikao cha kamati ya uongozi kilicholenga
Mambo muhimu yaliyojitokeza kwenye kamati za kisekta wakati wa kujadili
utekelezaji wa Bajeti za Wizara Mbali mbali kilichofanyika Machi 28,
2018 katika ofisi za Bunge Mjini Dodoma. kikao hicho pia kilihudhuriwa na
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa (kushoto
kwake) alieambatana na baadhi ya Mawaziri
Naibu Spika wa Bunge,
Mheshimiwa Dkt. Tulia Ackson akiongoza kikao cha kamati ya uongozi kilicholenga
Mambo muhimu yaliyojitokeza kwenye kamati za kisekta wakati wa kujadili
utekelezaji wa Bajeti za Wizara Mbali mbali kilichofanyika leo tarehe 28 Machi,
2018 katika ofisi za Bunge Mjini Dodoma. kikao hicho pia kilihudhuriwa na
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa (kushoto
kwake) alieambatana na baadhi ya Mawaziri.
Waziri Mkuu wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa kassim Majaliwa (kushoto) akimsikiliza
Naibu Spika wa Bunge, Mheshimiwa Dkt.Tulia Ackson (kulia) akizungumza wakati wa
kikao cha kamati ya uongozi kilicholenga Mambo muhimu yaliyojitokeza kwenye
kamati za kisekta wakati wa kujadili utekelezaji wa Bajeti za Wizara Mbali
mbali kilichofanyika Machi 28, 2018 katika ofisi za Bunge Mjini
Dodoma. kikao hicho pia kilihudhuriwa na Baadhi ya Mawaziri wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania
Wajumbe wa kamati ya
uongozi wakiwa katika kikao kilicholenga Mambo muhimu yaliyojitokeza kwenye
kamati za kisekta wakati wa kujadili utekelezaji wa Bajeti za Wizara Mbali
mbali kilichofanyika leo tarehe 28 Machi, 2018 katika ofisi za Bunge Mjini
Dodoma. kikao hicho kiliongozwa na Naibu Spika wa Bunge, Mheshimiwa Dkt. Tulia
Ackson pia kilihudhuriwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Mhe. Kassim Majaliwa alieambatana na baadhi ya Mawaziri kilichofanyika leo
ofisini kwake Mjini Dodoma
Mwenyekiti wa kamati
ya kudumu ya Bunge ya Miundombinu, Mhe. Suleiman Kakoso (watatu kulia)
akizungumza jambo wakati wa kikao cha uongozi kilicholenga Mambo muhimu
yaliyojitokeza kwenye kamati za kisekta wakati wa kujadili utekelezaji wa
Bajeti za Wizara Mbali mbali kilichofanyika leo tarehe 28 Machi, 2018 katika
ofisi za Bunge Mjini Dodoma. kikao hicho kiliongozwa na Naibu Spika wa Bunge,
Mheshimiwa Dkt. Tulia Ackson pia kilihudhuriwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa alieambatana na baadhi ya Mawaziri
kilichofanyika ofisini kwake Mjini Dodoma
Wajumbe wa kamati ya
uongozi wakiwa katika kikao kilicholenga Mambo muhimu yaliyojitokeza kwenye
kamati za kisekta wakati wa kujadili utekelezaji wa Bajeti za Wizara Mbali
mbali kilichofanyika leo tarehe 28 Machi, 2018 katika ofisi za Bunge Mjini
Dodoma. kutoka kulia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge,
kazi, Vijana, Ajira na Wenye ulemavu, Mhe. Jenista Mhagama, Mwanasheria Mkuu wa
Serikali, Mhe. Adelardus kilangi (katikati) na Mjumbe wa Kamati, Mhe. David
Silinde (kushoto) kikao hicho kiliongozwa na Naibu Spika wa Bunge, Mheshimiwa
Dkt. Tulia Ackson pia kilihudhuriwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa alieambatana na baadhi ya Mawaziri.
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)
0 Comments