Random Posts

TIMES FM yampa DIAMOND PLATNUMZ tuzo maalumu (PLAQUE)

 @diamondplatnumz amekua Msanii wa Kwanza wa Kiume Tanzania kupokea tuzo maalum (Plaque) kutoka @timesfmtz kupitia kipindi cha The Play▶list kama #NyotaWaMchezo#BongoFleva akitajwa kama #BestInternationalAct (Msanii Bora wa Kimataifa) #BestMaleAct (Msanii Bora wa Kiume) #MostInfluencialAct (Msanii Mwenye Ushawishi Mkubwa) #RecordBreakingAct (Msanii anayevunja Rekodi) kufatia kutoka kwa album yake mpya ya #ABoyFromTandale na Diamond amepokea tuzo hiyo baada ya @vanessamdeekuwa Msanii wa Kwanza wa Kike Tanzania kufanya hivo mwezi January tarehe 22 alipotoa album yake ya #MoneyMondays.

Diamond amepokea tuzo hiyo na kukabidhiwa na Mtangazaji wa Kipindi hicho @LilOmmy  baada ya kumaliza mahojiano (interview) na uchambuzi wa album yake mpya ya A Boy From Tandale. #ThePlaylist #Plaque #NyotaWaMchezo #WCB #UMG #AboyfromTandale cc @djd_slash

Post a Comment

0 Comments