Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson Mwansasu akimwapisha, Maulid
Mtulia kuwa mbunge wa Kinondoni kwa tiketi ya CCM, bungeni mjini Dodoma
Aprili 3, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Mheshimiwa Maulid Mtulia akiapa kuwa mbunge wa Kinondoni kwa tiketi ya
CCM, bungeni mjini Dodoma Aprili 3, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri
Mkuu)
Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson Mwansasu akimwapisha, Godwin
Aloyce Mollel kuwa mbunge wa Siha kwa tiketi ya CCM, bungeni mjini
Dodoma Aprili 3, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Mheshimiwa Godwin Aloyce Mollel akiapa kuwa mbunge wa Siha kwa tiketi ya
CCM, bungeni mjini Dodoma Aprili 3, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri
Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na mbunge wa Kinondoni kwa tiketi ya CCM, Maulid Mtulia, (kushoto kwake) na ujumbe wa wapenzi na mashabiki wa CCM kutoka Kinondoni waliomsindikiza mbunge huyo kutoka Dar es salam hadi bungeni Dodoma Aprili 3, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na mbunge wa Siha kwa tiketi ya CCM, Godwin Aloyce Mollel, (kushoto kwake) na ujumbe wa wapenzi na mashabiki wa CCM kutoka Kinondoni waliomsindikiza mbunge huyo kutoka mkoani Kilimanjaro hadi bungeni Dodoma Aprili 3, 2018.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na mbunge wa Kinondoni kwa tiketi ya CCM, Maulid Mtulia, (kushoto kwake) na ujumbe wa wapenzi na mashabiki wa CCM kutoka Kinondoni waliomsindikiza mbunge huyo kutoka Dar es salam hadi bungeni Dodoma Aprili 3, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na mbunge wa Siha kwa tiketi ya CCM, Godwin Aloyce Mollel, (kushoto kwake) na ujumbe wa wapenzi na mashabiki wa CCM kutoka Kinondoni waliomsindikiza mbunge huyo kutoka mkoani Kilimanjaro hadi bungeni Dodoma Aprili 3, 2018.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Juma Aweso akizungumza na
Mbunge wa Busega, Raphael Chegeni kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma,
Aprili 3, 2018.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
0 Comments