Subscribe Us

header ads

Rais na Mwenyekiti wa CCM Dkt. Magufuli Akutana na Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Kinana Ikulu Jijini Dar es Salaam

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM)) Dkt. John Pombe Magufuli akimsindikiza  Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana baada ya kukutana na kufanya mazungumzo Ikulu jijini Dar es salaam Jumapili Mei 27, 2018

Post a Comment

0 Comments