Benki ya TPB Yazindua Tawi Jipya Mkoani Tanga - MTAZAMO MEDIA

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Monday, 4 June 2018

Benki ya TPB Yazindua Tawi Jipya Mkoani Tanga

 mwenyekiti mstaafu wa bodi ya wakurugenzi wa benki ya tpb, prof. lettice rutashobya (katikati) akikata utepe kuashiria uzinduzi wa tawi la benki hilo mkoani tanga. wakishuhudia tukio hilo ni mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa sasa wa benki hiyo dkt. edmund mndolwa (kulia) na afisa mtendaji mkuu wa benki ya tpb, bw. sabasaba moshingi (kushoto).
 mwenyekiti mstaafu wa bodi ya wakurugenzi wa benki ya tpb, prof. lettice rutashobya akifungua jiwe la msingi wakati wa uzinduzi wa tawi la benki hiyo mkoani tanga. kushoto ni mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa benki ya tpb dkt. edmund mndolwa pamoja na afisa mtendaji mkuu wa benki hiyo bw. sabasaba moshingi (kulia).
 mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa benki ya tpb, dkt. edmund mndolwa akitoa hotuba fupi wakati wa shereje za uzinduzi wa tawi la benki hiyo mkoani tanga.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages