Waziri wa Maji na Umwagiliaji na Waziri wa Nchi, OR-Tamisemi Watekeleza Maagizo ya Mhe. Rais Magufuli - MTAZAMO MEDIA

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Friday, 8 June 2018

Waziri wa Maji na Umwagiliaji na Waziri wa Nchi, OR-Tamisemi Watekeleza Maagizo ya Mhe. Rais Magufuli

 Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhe. Mhandisi Isack Kamwelwe (Mb), kushoto, akiongea na vyombo vya habari kuhusu utekelezaji wa wizara yake kusimamia sekta  ya maji na wataalam wake katika ngazi zote kuanzia ngazi ya kitaifa hadi ngazi ya kijiji. Kulia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mhe. Selemani Jafo (Mb).

   Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mhe. Selemani Jafo (Mb). Kulia, akiongea kuhusu sekta ya maji na wataalam wake kuwajibika wizara ya maji kuanzia ngazi ya kitaifa hadi kijiji. Kushoto ni Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhe. Mhandisi Isack Kamwelwe  (Mb).

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages