Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Waziri Mkuu Mstaafu Cleopa
David Msuya mara baada ya kuwasili nyumbani kwake Jijini Dar es Salaam kwa
ajili ya kumjulia hali leo tarehe 2 Desemba, 2021.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akizungumza na Waziri Mkuu Mstaafu Cleopa
David Msuya mara baada ya kuwasili nyumbani kwake Jijini Dar es Salaam kwa
ajili ya kumjulia hali.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiagana na Waziri Mkuu Mstaafu Cleopa
David Msuya mara baada ya kumjulia hali nyumbani kwake Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akizungumza na Waziri Mkuu Mstaafu
Jaji Joseph Sinde Warioba mara baada ya kuwasili nyumbani kwake Jijini Dar es
Salaam kwa ajili ya kumjulia hali.
PICHA NA IKULU
No comments:
Post a Comment